Tue, 5 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Beki wa kulia wa Simba SC, Shomari Kapombe ameweka wazi kuwa siri kubwa iliyowafanya wachezaji wa Simba kuonesha kiwango kizuri ni maneno waliyopewa na mwali wao mpya Benchikha.
Kapombe amesema, mwalimu alizungumza na mchezaji mmoja mmoja na kumuambia kuwa anahitaji kila mtu aipambanie timu na hicho ndicho kilicholeta mabadiliko kwenye mechi dhidi ya Jwaneng Galaxy.
"Mwalimu alituambia anahitaji tujitume, kweli tulifanya hivyo na tukafanikiwa lakini hatukuweza kupata bahati ya kufunga," alisema Kapombe.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live