Wed, 27 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kanzu aliyovaa nyota wa Klabu ya Al-Nassr na nahodha wa Ureno, Cristiano Ronaldo 'CR7' imepanda bei ghafla mara tu baada ya mchezaji huyo kupost picha ikionesha amevaa kanzu hiyo.
Kanzu aliyovaa nyota wa Klabu ya Al-Nassr na nahodha wa Ureno, Cristiano Ronaldo 'CR7' imepanda bei ghafla mara tu baada ya mchezaji huyo kupost picha ikionesha amevaa kanzu hiyo. Kanzu hiyo ilikuwa inauzwa dola 600 sawa na shilingi milioni 1.5 za Kitanzania lakini muda mchache baada ya kupost kanzu hiyo imepanda bei mpaka kufikia kuuzwa dola 10,000 sawa na shilingi milion 25 za Kitanzania.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live