Tue, 21 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mwenyekiti wa klabu ya Enyimba, Kanu Nwankwo amesema kuwa Rais wa CAF Patrice Motsepe hajui chochote kuhusu soka..
Mwenyekiti wa klabu ya Enyimba, Kanu Nwankwo amesema kuwa Rais wa CAF Patrice Motsepe hajui chochote kuhusu soka.. ''Washindi wa Ligi ya Soka ya Afrika hawawezi kuwa bora zaidi barani Afrika, huku mashindano yenyewe yakiwa na timu 8 pekee..'' Amesema Mwenyekiti wa Enyimba , Kanu.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live