Fri, 22 Sep 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kiungo wa Ufaransa, N'Golo Kanté amefunga bao lake la kwanza akiwa na Al Ittihad wakipanda kileleni mwa Saudi Pro League.
Kiungo wa Ufaransa, N'Golo Kanté amefunga bao lake la kwanza akiwa na Al Ittihad wakipanda kileleni mwa Saudi Pro League. Kante amejiunga na Al Ittihad msimu huu akitokea Chelsea.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live