Fri, 15 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Sadio Kanoute hajaonekana dimbani katika mechi nne mfululizo tangu Simba ilipocheza na ASEC Mimosas nchini Ivory Coast, Februari 23, 2024.
Sadio Kanoute hajaonekana dimbani katika mechi nne mfululizo tangu Simba ilipocheza na ASEC Mimosas nchini Ivory Coast, Februari 23, 2024. Taarifa ikufikie kwamba sasa yuko fiti na huenda akawa sehemu ya mchezo wa leo dhidi ya Mashujaa FC.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live