Mon, 2 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Harry Kane amewalipa Bayern €110m zao walizotoa kumsajili kwa Tottenham Hotspurs, katika mechi 8 ana goli 9 na asissti 4.
Harry Kane amewalipa Bayern €110m zao walizotoa kumsajili kwa Tottenham Hotspurs, katika mechi 8 ana goli 9 na asissti 4. Sema shida ni kwamba tumeshamzoea sana hivi alafu pia ligi anayocheza tushaiweka kama ni ligi nyepesi sana kwenye macho yetu lakini kwa ada na kwa umri wake anauwasha sana. Kama anapita chini ya rada hivi...
Chanzo: www.tanzaniaweb.live