Thu, 9 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Nyota wa klabu ya Bayern München Harry Kane amefunga magoli 4 kwenye mechi 4 ambazo amecheza katika mashindano ya UEFA msimu huu.
Nyota wa klabu ya Bayern München Harry Kane amefunga magoli 4 kwenye mechi 4 ambazo amecheza katika mashindano ya UEFA msimu huu. Hadi sasa ana magoli 19 kwenye mechi 15 alizocheza tangu ajiunge na Bayern München kwenye mashindano yote.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live