Thu, 14 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Michezo tisa imebakia kumalizika msimu wa 2023/2024 wa Bundesliga huku Harry Kane akiongoza ufungaji bora akiwa amefunga magoli 30 katika michezo 25 iliyopita.
Michezo tisa imebakia kumalizika msimu wa 2023/2024 wa Bundesliga huku Harry Kane akiongoza ufungaji bora akiwa amefunga magoli 30 katika michezo 25 iliyopita. Katika michezo hii tisa iliyobakia, je Harry Kane ataweza kufunga magoli 12 ili kuifikia na kuivunja rekodi ya Robert Lewandoski aliyoweka ya kufunga magoli 41 katika msimu wa 2020/2021?
Chanzo: www.tanzaniaweb.live