Mon, 9 Aug 2021
Chanzo: www.mwanaspoti.co.tz
BEKI wa kulia wa Simba, David Kameta ‘Duchu’ anaweza kuwa mmoja wa nyota watakaovaa uzi wa Mbeya Kwanza msimu ujao.
Simba, tayari imemsajili Israel Patrick Mwenda aliyekuwa KMC kitu kinachofungua mlango kwa Duchu aliyekuwa hana namba kusepa zake.
Beki huyo alikiri anaendelea kuzungumza na Mbeya Kwanza mambo yakiwa tayari kila kitu kitawekwa wazi.
Chanzo: www.mwanaspoti.co.tz