Sun, 22 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Manchester city ipo tayari kumuachia kiungo wake wa kimataifa wa England Kelvin Phillips (27) kuondoka klabuni hapo ifikapo mwezi January.
Kelvin Phillips tangu ajiunge na Manchester city hajawa na nafasi ya kucheza hivyo anaweza kuondoka klabuni hapo katika dirisha dogo la usajili,
Tayari Vilabu vingi vinahusishwa na kutaka kumsajili kiungo huyo ila Bayern Munich wapo mstari wa mbele zaidi kuihitaji saini ya kiungo huyo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live