Wed, 28 Jun 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Baada ya Kutangaza kuachana na soka la Ushindani , Klabu ya TP Mazembe imemchagua Rainford Kalaba kuwa mkurugenzi wa Ufundi wa Klabu hiyo.
Baada ya Kutangaza kuachana na soka la Ushindani , Klabu ya TP Mazembe imemchagua Rainford Kalaba kuwa mkurugenzi wa Ufundi wa Klabu hiyo. Kalaba amedumu ndani ya Klabu ya TP Mazembe kwa miaka 13 akipata mafanikio makubwa na Timu hiyo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live