Mon, 8 Jul 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Namungo FC wamekamilisha Usajili wa Kipa, Beno Kakolanya akitokea Singinda Fountain Gate FC Kama Mchezaji huru.
Namungo FC wamekamilisha Usajili wa Kipa, Beno Kakolanya akitokea Singinda Fountain Gate FC Kama Mchezaji huru. Kakolanya anaenda kuchukua nafasi ya Kipa Jonathan Nahimana Ambaye amekamilisha Usajili wake wa kujiunga na Gor Mahia FC baada ya Mkataba wake na Namungo kutamatika.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live