Tue, 16 Apr 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kiungo wa Singida Fountain Gate FC , Yusuph Kagoma amekimbia kambini kufatia kutolipwa mshahara wake wa miezi minne ndani ya kikosi hicho.
Kiungo wa Singida Fountain Gate FC , Yusuph Kagoma amekimbia kambini kufatia kutolipwa mshahara wake wa miezi minne ndani ya kikosi hicho. Kupitia chanzo ambacho hakijataka kutwaja jina lake kimesema mchezaji huyo yupo nyumbani kwao Kigoma akiendeea na mazoezi akisubiri mkataba wake kumalizika msimu huu 2023 – 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live