Sun, 19 Feb 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Bao pekee la chipukizi Erick Mwijage dakika ya 79 limeipa Kagera Sugar ushindi wa 1-0 dhidi ya Namungo FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara Februari 18 Uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba.
Bao pekee la chipukizi Erick Mwijage dakika ya 79 limeipa Kagera Sugar ushindi wa 1-0 dhidi ya Namungo FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara Februari 18 Uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba. Kwa matokeo hayo, Kagera Sugar ya kocha Mecky Mexime inafikisha pointi 29 na kusogea nafasi ya sita ikiizidi tu wastani wa mabao Namungo FC baada ya wote kucheza mechi 23.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live