Baada ya mchezo wa mwisho Ligi kuu ya Wanawake wachezaji wa Yanga Princess walitumia nafasi ya kumuaga na mchezaji mwenzao @dadakaeda anaerejea nchini Marekani kuendelea na masomo yake baada kuitumikia Yanga Princess kwa msimu mmoja.
Baada ya mchezo wa mwisho Ligi kuu ya Wanawake wachezaji wa Yanga Princess walitumia nafasi ya kumuaga na mchezaji mwenzao @dadakaeda anaerejea nchini Marekani kuendelea na masomo yake baada kuitumikia Yanga Princess kwa msimu mmoja. Kwenye ukurasa wa Instagram @yangasc_princess wamesema wanamshukuru Sana kaeda kwa kuitumikia Yanga Princess kwa msimu mmoja na kumtakia kila kheri kwenye masomo yake huko Nchini Marekani.