Fri, 13 Jan 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kadi nyekundu ya Joao Felix dhidi ya Fulham inamaanisha atakosa michezo mitatu ijayo ya ligi.
Michezo hiyo mitatu atakayoikosa nyota huyo ni dhidi ya Crystal Palace (Nyumbani), Liverpool (Ugenini), Fulham (Nyumbani).
Michezo hii ambayo ataikosa ni sawa na zaidi ya €1,550,000 (sawa na Tsh bilioni 3.9) katika ada yake ya mkopo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live