Thu, 16 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Wakati Huu ambapo nyota wawili vijana katika Dunia ya soka wameshikwa vichwa vya wapenda kandanda.
Erling Haaland na Kylian Mbappe wanajidhihirisha mpaka uwanjani kuwa wanastahili kuwa gumzo katika soka kwa sasa kutokana na takwimu zao mpaka sasa.
Erling Haaland na Kylian Mbappe msimu huu:
Erling Haaland:
Mechi: 18
Mabao: 17
Assists: 4
Kylian Mbappe:
Mechi: 15
Mabao: 15
Assist: 1
Hizi namba sio za kawaida, hii ni mitambo ya mabao
Chanzo: www.tanzaniaweb.live