Fri, 26 May 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
May 26, 2018 siku kama ya leo wakati Real Madrid wakiichapa Liverpool, na kushinda Ligi ya Mabingwa kwa mara ya tatu mfululizo, Gareth Bale alitokea benchi na kufunga mabao mawili.
Aliizungusha kiev hiyo Madrid chini ya Zinadine Zidane (Zizzou) wakashinda fainali ya Ligi ya Mabingwa ambayo ilipeleka kilio kwa Mohamed Salah pamoja na Liverpool.
Katika Mchezo huo Liverpool walikubali kichapo cha mabao 3-1.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live