Thu, 8 Jun 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
KMKM wamefanikiwa kutwaa ubingwa wa Ligi ya PBZ Zanzibar kwa mara ya tatu mfululizo baada ya kuichapa Chipukizi mabao 2-0 jana Uwanja wa Amani, Zanzibar, hivyo kumaliza na pointi 69, nne Zaidi ya KVZ iliyoshika nafasi ya pili, wote wakifuatiwa na Mlandege pointi 53, Malindi 49 na Zimamoto 45.
KMKM wamefanikiwa kutwaa ubingwa wa Ligi ya PBZ Zanzibar kwa mara ya tatu mfululizo baada ya kuichapa Chipukizi mabao 2-0 jana Uwanja wa Amani, Zanzibar, hivyo kumaliza na pointi 69, nne Zaidi ya KVZ iliyoshika nafasi ya pili, wote wakifuatiwa na Mlandege pointi 53, Malindi 49 na Zimamoto 45.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live