Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

KMC waanza fujo za usajili Ligi Kuu Bara, waanza na Kikoti

Lucas Kikoti.png Lucas Kikoti

Mon, 3 Jul 2023 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

KMC iko kwenye mazungumzo ya kumpata kiungo wa Namungo, Lucas Kikoti ili akaichezee timu hiyo msimu ujao.

Kocha wa KMC, Jamhuri Kihwelo Julio ametoa pendekezo la mchezaji huyo kwa sababu anataka kuungana naye tena kwani walishawahi kufanya kazi pamoja wakati akiifundisha Namungo.

Wakati KMC ikihitaji saini ya Kikoti, tayari imewasajili Juma Shemvuni aliyekuwa anaichezea Mbeya City iliyoshuka daraja, Muhsin Malima (Dodoma Jiji) na Rodgers Gabriel aliyetoka Pamba FC.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live