Fri, 17 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mechi ya kimataifa ya kirafiki iliyokuwatisha KMC na Al Hilal ya Sudan umemalizika kwa sare ya bao 1-1 ambapo la KMC limefungwa na Awesu Awesu.
Mechi ya kimataifa ya kirafiki iliyokuwatisha KMC na Al Hilal ya Sudan umemalizika kwa sare ya bao 1-1 ambapo la KMC limefungwa na Awesu Awesu. Mechi hiyo imepigwa katika viwanja vya shule ya Baobab jana Novemba 16.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live