Wed, 20 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kikosi cha Yanga kinaingia Uwanjani muda mchache kutoka sasa kusaka alama tatu za kwanza msimu huu Ligi ya Mabingwa Afrika wanapoikaribisha Medeama ya Ghana.
Yanga ambayo inaburuza mkia katika msimamo wa kundi D ina alama mbili pekee na inahitaji ushindi dhidi ya Medeama leo ili kufufyua matuamiani ya kusonga hatua ya Robo Fainali.
Hiki hapa kikosi cha Yanga kinachoanza mchezo wa leo;
DIARRA
YAO
KIBABAGE
MWAMNYETO (C)
JOB
AUCHO
MAXI
MUDATHIR
MUSONDA
AZIZ KI
PACOME
Benchi wapo;
METACHA, KIBWANA, FRED, SUREBOY, MOLOKO, SKUDU, FARID, MZIZE, KONKONI
Unawapa Yanga nafasi gani leo?
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: