Sat, 8 Oct 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Wawakilishi wa Tanzania na Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya NBC Timu ya Yanga inashuka dimbani majira ya saa 10:00 katika Uwanja wa Mkapa kuwakabili Timu ya Al Hilal kutoka Sudan.
Mchezo huo ni wa mkondo wa kwanza raundi ya kwanza kuwania kufuzu kwa hatua ya Makundi Ligi ya Mabingwa Afrika.
Hiki hapa ndicho kikosi cha Yanga kinachoanza mchezo wa leo;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live