Wed, 9 Nov 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Dakika 45 za kipindi cha kwanza zinakamilika katika Uwanja wa Prince Moulay Al Hassan mchezo wa Nusu Fainali Ligi ya Mabingwa Afrika kwa wanawake.
Dakika 45 za kipindi cha kwanza zinakamilika katika Uwanja wa Prince Moulay Al Hassan mchezo wa Nusu Fainali Ligi ya Mabingwa Afrika kwa wanawake. Sio Simba Queens wala Mamelodi aliefanikiwa kuona lango la mwenzake huku mchezo ukiwa wa kasi kwa timu zote.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live