Sun, 18 Sep 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Dakika 45 za kipindi cha kwanza zinakamilika katika Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam mchezo wa mkondo wa pili hatua ya awali Ligi ya Mabingwa Afrika.
Ni Simba SC wenyeji, dhidi ya Nyasa Big Bullets kutokea nchini Malawi.
Goli la uongozi la Simba SC limewekwa wavuni na mshambuliaji kutoka Zambia Moses Phiri akiwa anaendelea kuonesha thamani ndani ya kikosi cha Msimbazi.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live