Sun, 9 Oct 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Wenyeji De Agosto wanapata bao kwa mkwaju wa penati baada ya mchezaji wa Simba kuunawa mpira kwa mkono na mwamuzi kuamuru mkwaju wa penati.
Bao hilo linawarudisha De Agosto mchezoni na kuwafanya walisakame lango la Simba kwa nguvu zote na kumpa wakati mgumu mlinda mlango Aishi Manula.
Goli hili ndilo goli la kwanza Simba kuruhusi tangu ujio wa kocha Juma Mgunda katika klabu hiyo akichukua nafasi ya Zoran Maki.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live