Sat, 8 Oct 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mabadiliko wanayofanya Al Hilal yanawapa faida baada ya Mohamed Abdulrahaman Yusuf kuisawazishia Al Hilal na kufanya matokeo kuwa goli 1-1 dakika ya 67 ya mchezo.
Mabadiliko wanayofanya Al Hilal yanawapa faida baada ya Mohamed Abdulrahaman Yusuf kuisawazishia Al Hilal na kufanya matokeo kuwa goli 1-1 dakika ya 67 ya mchezo. Mabadiliko ya Al Hilal yanawapa nguvu pia na kuwafanya wafanye mashambulizi ya kustukiza mara kwa mara.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live