Sun, 9 Oct 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Simba wanaendelea kutakata katika Uwanja wa Novemba 11 nchini Angola mchezo wa kuwania kufuzu kwa hatua ya Makaundi Ligi ya Mabingwa Afrika.
Simba wanaendelea kutakata katika Uwanja wa Novemba 11 nchini Angola mchezo wa kuwania kufuzu kwa hatua ya Makaundi Ligi ya Mabingwa Afrika. Israel Mwenda anaiandikia Simba SC bao la pili akimalizia pasi safi kutoka kwa Sadio Kanoute na kuachia shuti lililotinga wavuni.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live