Sun, 18 Sep 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Moses Phiri anazidi kuonesha thamani yake ndani ya kikosi cha Msimbazi akiiandikia Simba bao la pili dakika ya 50 ya mchezo.
Moses Phiri anazidi kuonesha thamani yake ndani ya kikosi cha Msimbazi akiiandikia Simba bao la pili dakika ya 50 ya mchezo. Mchezo huu ni wa kuwania kufuzu raundi ya kwanza huku katika mkondo wa kwanza Simba iliahinda magoli 2-0 ugenini.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live