Sun, 18 Sep 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mambo yanazidi kuwanyookea wawakilishi wa Tanzania katika Michuano ya Ligi ya Mbaingwa Afrika, Simba SC mbele ya Nyasa Big Bullets kutokea nchini Malawi.
Mambo yanazidi kuwanyookea wawakilishi wa Tanzania katika Michuano ya Ligi ya Mbaingwa Afrika, Simba SC mbele ya Nyasa Big Bullets kutokea nchini Malawi. Tayari mshambuliaji Moses Phiri anawapa Simba bao la uongozi na kufanya matokeo kuwa 1-0 huku mchezo wa mkondo wa kwanza Simba akiibuka na ushindi wa magoli 2-0 ugenini nchini Malawi.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live