Sun, 9 Oct 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Wawakilishi wa Tanzania katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika, Timu ya Simba wanaanza kwa kupata bao la mapema dhidi ya Agosto mchezo unaopigwa mchini Angola.
Wawakilishi wa Tanzania katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika, Timu ya Simba wanaanza kwa kupata bao la mapema dhidi ya Agosto mchezo unaopigwa mchini Angola. Bao la Simba limewekwa wavuni na Kiungo wa Kimataifa wa Zambia, Clatous Chama dakika ya 8 ya mchezo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live