Sat, 25 Feb 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Wawakilishi wa Tanzania, Simba SC wanapata bao la uongozi katika Uwanja wa St Marys Jijini Kampala.
Beki Henock Inonga akimalizia mpira wa kichwa uliopigwa na Moses Phiri anaumalizia na kuutumbukiza wavuni.
Hili ni bao la kwanza Simba kufunga katika Michuano ya CAF hatua ya Makundi msimu huu.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live