Sat, 11 Feb 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Dakika 18 tu zimetosha kuwapa wenyeji bao la uongozi dhidi ya Simba SC, mchezo wa hatua ya Makundi Ligi ya Mabingwa Afrika.
Mpira wa kona unamkuta ndiaye anaepiga kichwa kinachomshinda Aishi Manula na kutinga wavuni.
Horoya wameutawala mchezo kwa dakika hizi chache huku wakiwa wameshafanya mashambulizi kadhaa ya hatari langoni mwa Simba.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live