Kiungo wa Manchester City Kelvin De Bruyne ameulizwa na mwandishi wa habari juu ya Haaland na Messi ni nani atashinda Balon D’Or mwaka huu ?
KDB amenyoosha kwamba tuzo itaenda kwa Haaland !
Mwandishi akaongeza swali , unafahamu kama Messi ameshinda Kombe la Dunia ?
KDB akanyoosha tena ,hata 2010 Iniesta alishinda kombe la Dunia lakini hakupata Ballon D’Or
Mwandishi akaongeza kwa kusema hiyo 2010 unayoisema Messi alifunga magoli mengi zaidi ya Iniesta !
KDB akanyoosha tena upo sawa na hata mwaka huu itaenda kwa Haaland kwa sababu amefunga magoli mengi zaidi ya Messi !
Kete yako inaenda upande upi ___?