Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari Vijana Sanaa na Utamaduni na Michezo Omar Hassan (King) ameelezea tarehe ya kuanza kwa mashindano ya Mapinduzi Cup ni Januari 1 hadi 3 kwa kushirikisha timu 4 za Zanzibar na timu 5 za Tanzania Bara pia ametaja Majina ya wanakamati hio.
1)M/kiti wa Kamati ya Mapinduzi Cup – Ndugu Khamis Abdallah Said
2)Katibu Mtendaji BTMZ pia Naibu Katibu wa Kamati Mapinduzi Cup Ndugu Suleiman Pandu Koleza
3)Katibu Mkuu Fedha – Ndugu Khamis Mussa Omar
4)Mratibu Shughuli za Serikali (SMZ ) Tanzania Bara – Ndugu Issa Mlingoti
5)Katibu Mkuu – Wizara ya Habari Utamaduni na Michezo Tanzania (BMT )
6)Mkurugenzi wa Michezo – Wizara ya Habari, Utamaduni na Michezo Tanzania Bara
7)Katibu wa Baraza – Baraza la Michezo Tanzania (BMT)
8)Afisa Mdhamini Pemba Wizara ya Habari – Fatma Hmad Rajab
9)Rais ZFF – Seif Kombo Pandu
10)Ndugu Aiman Othman Duwe – Chuo cha Habari – Katibu wa Kamati
11)Makamo wa Rais ZFF – Ndugu Salum Ubwa
12)Mwakilishi wa Kuisaidia Kamati kwa timu kutoka Bara – Ndugu Juma Mmanga
13)Mkurugenzi Mkuu ZBC – Chande Omar
14)Mhasibu Mkuu Wizara ya Habari – Ambar Sharif
15)Abdul – Amin Moh’d Juma – Meneja Uwanja wa Amaan