Timu ya Juventus ya Italia inavutiwa na huduma ya mchezaji wa Manchester United Jadon Sancho ambaye anatarajiwa kuondoka Januari Juve tayari imepeleka pendekezo la kumnasa mchezaji huyo kwa mkopo huku wakitarajia kumsajili moja kwa moja ikumbumkwe pia Sancho anawindwa na baadhi ya vilabu kutoka Saudi Arabia.
Timu ya Juventus ya Italia inavutiwa na huduma ya mchezaji wa Manchester United Jadon Sancho ambaye anatarajiwa kuondoka Januari Juve tayari imepeleka pendekezo la kumnasa mchezaji huyo kwa mkopo huku wakitarajia kumsajili moja kwa moja ikumbumkwe pia Sancho anawindwa na baadhi ya vilabu kutoka Saudi Arabia.