Tue, 4 Jun 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kaimu Kocha Mkuu wa Simba SC, Juma Mgunda ametangazwa kuwa ndiye Kocha Bora wa Mwezi Mei, 2024.
Kaimu Kocha Mkuu wa Simba SC, Juma Mgunda ametangazwa kuwa ndiye Kocha Bora wa Mwezi Mei, 2024. Mgunda ametangazwa kushinda tuzo hiyo leo Juni 4, 2024 kupitia kurasa rasmi za Shirikikisho la Mpira Tanzania (TFF).
Chanzo: www.tanzaniaweb.live