Mon, 22 Apr 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mchezaji wa zamani wa timu ya Yanga SC, Juma Abdul amethibitisha kurudi Ligi kuu Mwezi wa Sita.
Mchezaji wa zamani wa timu ya Yanga SC, Juma Abdul amethibitisha kurudi Ligi kuu Mwezi wa Sita. "Nasubiri Mwezi wa sita (6) nitarudi kucheza bado nahisi miguu inanidai na nina misimi miwili ya kucheza," amesema Juma Abdul.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live