Mon, 11 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Singida Fountain Gate yenye maskani yake Jijini Mwanza imeinasa saini ya kocha wa zamani wa Simba, Namungo, Mwadui na klabu kadhaa nchini Jamhuri Kihwelu Julio.
Klabu ya Singida Fountain Gate yenye maskani yake Jijini Mwanza imeinasa saini ya kocha wa zamani wa Simba, Namungo, Mwadui na klabu kadhaa nchini Jamhuri Kihwelu Julio. Julio anatarajiwa kutangazwa na klabu hiyo mara baada ya mchezo wa Singida Fountain Gate dhidi ya Simba unaotarajiwa kupigwa jumanne hii, lengo ni kuibakisha timu Ligi kuu.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live