Fri, 8 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Imefahamika Klabu ya Singida Fountain Gate FC, ameshakamilisha makubaliano binafsi na Kocha wa Zamani wa Vilabu vya Simba SC, Mwadui, Dodoma jiji na KMC, Jamhuri Kihwelo 'Julio', kuchukua nafasi ya aliyekuwa kocha wao mkuu Thabo Senong,
Imefahamika Kuwa baada ya mechi dhidi ya Simba SC Julio atatangazwa rasmi kuwa kocha mkuu mpya wa Singida Fountain Gate FC,
Kwasasa timu ipo chini ya Kocha Ngawina Ngawina na Kocha wa Makipa Ally Mustapha kama kocha wa muda.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live