Mon, 18 Sep 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Al Ahli ya Saudia imekamilisha usajili wa nyota wa PSG Julien Draxler na amesaini mkataba hadi mwaka 2025.
Klabu ya Al Ahli ya Saudia imekamilisha usajili wa nyota wa PSG Julien Draxler na amesaini mkataba hadi mwaka 2025. Saudi Arabia inaendelea na zoezi lake la kukusanya vipaji halisi kutoka bara la Ulaya.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live