Tue, 4 Apr 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mabosi wa Chelsea wanampa mafasi kubwa aliyekuwa Kocha wa Bayern Munich Julian Nagelsmann kwenda kurithi Mikoba ya Graham Potter pale Darajani.
Mabosi wa Chelsea wanampa mafasi kubwa aliyekuwa Kocha wa Bayern Munich Julian Nagelsmann kwenda kurithi Mikoba ya Graham Potter pale Darajani. Nagelsmann alitimuliwa na Beyern wiki iliyopita lakini Chelsea wanaona ni mtu sahihi kurithi mikoba ya Graham Potter ambae nae ameooneshwa mlango wa kutokea.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: