Thu, 6 Jun 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mshambuliaji wa Manchester City Julian Alvarez ametajwa kuwa kipaumbele cha kwanza katika safu ya ushambuliaji ya Chelsea.
Chelsea inamtaka nyota huyo raia wa Argentina ili kukisuka upya kikosi chake kinachoanza kujijenga upya.
Klabu zingine kutoka nje ya Uingereza zinazomtaka nyota huyo ni Atlético Madrid na Paris Saint-Germain (PSG) nao wameonesha nia ya kumtaka mchezaji huyo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live