Tue, 31 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Baada ya kushinda tuzo ya mchezaji bora kijana (Kopa Trophy) usiku wa Ballon D’Or hapo jana.
Baada ya kushinda tuzo ya mchezaji bora kijana (Kopa Trophy) usiku wa Ballon D’Or hapo jana. Kiungo wa Real Madrid Jude Bellingham amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa mwezi October wa Ligi kuu ya Spain ikiwa ni mara ya pili katika miezi 3.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live