Fri, 26 May 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Jose Mourinho kocha wa AS Roma amefunguka na kusema katika vilabu alivyowahi kuhudumu hana mapenzi kabisa na Tottenham Hotspurs.
Hii ni kwa sababu Levy hakumpa muda wakati akiwa kocha. Ilikuwa ni kipindi cha COVID 19 lakini pia hakumuacha afike fainali wakati Spurs inashiriki UEFA Champions League.
Mourinho amewahi kupita vilabu kama FC Porto, Chelsea, Inter Milan, Real Madrid, Manchester United na sasa yupo AS Roma ambapo amefika fainal katika michuano ya EUROPA.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live