Sat, 10 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kiungo wa klabu ya Arsenal Jorginho (32) amemaliza mafunzo yake ya ukocha ya leseni B ya UEFA.
Kiungo wa klabu ya Arsenal Jorginho (32) amemaliza mafunzo yake ya ukocha ya leseni B ya UEFA. Jorginho ameungana na Mohamed Elneny na Xhaka ambao wao walifanya mafunzo hayo siku za nyuma.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live