Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Jonesia Rukyaa aandika rekodi dabi ya Kariakoo

RUKYA ME Jonesia Rukyaa aandika rekodi dabi ya Kariakoo

Tue, 18 Apr 2023 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Jonesia Rukyaa ndiye mwamuzi wa kwanza kuchezesha derby mbili ndani ya siku 25 katika msimu mmoja huku mmoja ukichezwa Uwanja wa Uhuru na mwingine Benjamini Mkapa.

Mchezo wa kwanza kati ya Simba Queens na Yanga Princess katika Ligi Kuu ya Wanawake na ulifanyika katika uwanja wa Uhuru, ulimalizika kwa sare ya bao 1-1 na mfungaji wa mchezo huo kwa upande wa Simba ambao ndio waliokuwa wa kwanza kupata bao Kupitia Jentrix Shikangwa kabla ya Wogu Chioma kuisawazishia Yanga Princess.

Mchezo wa pili uliofanyika Aprili 16 uliowakutanisha vidume wawili huku Simba wakianza kuwafunga Yanga dakika za mwanzoni kabisa bao lililofungwa na beki Henock Inonga na dakika ya 32 Kibu Denis kuwapa wekundu wa Msimbazi bao la pili.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live