Sat, 2 Sep 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Jonny Evans (35) amesaini Mkataba wa muda mfupi wa kuitumikia Manchester United hadi mwezi Juni 2024.
Jonny Evans (35) amesaini Mkataba wa muda mfupi wa kuitumikia Manchester United hadi mwezi Juni 2024. Hatua hiyo imekuja baada ya Klabu hiyo kukumbwa na kundi kubwa la Majeruhi hasa katika eneo la ulinzi hivyo wameamua kumbakisha.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live