Wed, 8 Feb 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kiungo wa zamani wa Liverpool, Joe Allen raia wa Wales ambaye kwa sasa anachezea klabu ya Swansea City ametangaza kustaafu soka la Kimataifa akiwa na umri wa miaka 32.
Kiungo wa zamani wa Liverpool, Joe Allen raia wa Wales ambaye kwa sasa anachezea klabu ya Swansea City ametangaza kustaafu soka la Kimataifa akiwa na umri wa miaka 32. Allen ambaye ameichezea timu ya Taifa Wales mechi 74 anaungana na Gareth Bale ambaye pia amestaafu kuitumikia timu ya Taifa Wales.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live