Wed, 17 Jan 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Yanga SC imemtangaza Jimmy Kindoki kuwa ni Afisa Idara ya Wanachama na Mashabiki wa Klabu hiyo.
Klabu ya Yanga SC imemtangaza Jimmy Kindoki kuwa ni Afisa Idara ya Wanachama na Mashabiki wa Klabu hiyo. Kindoki anatambulika kama shabiki kindaki ndaki wa Klabu ya Yanga.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: